• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MSIMU WA LESENI ZA VILEO KUANZA TAREHE 01 APRILI 2018

23 March 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Christoper J.Kazeri anawakumbusha wafanyabiashara  kwenye Halmashauri hiyo kuwa msimu mpya wa kulipia leseni za vileo unaanza tarehe 01 mwezi Aprili 2018,hivyo wafanyabiashara husika wanatakiwa kulipia kwa wakati.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru ametoa rai kwa wafanyabiashara wote kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru kulipa kodi yaani Leseni za biashara na vileo kwa wakati  kwani fedha hizo hutumika kuleta maendeleo kwenye Halmashauri hiyo kwakuwa hutumika kutekeleza shughuli za maendeleo.

"Hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wafanyabiashara ambao watakutwa hawajalipia  leseni za biashara wanazofanya " amesema Mkurugenzi Kazeri


Matangazo ya Kawaida

  • MSIMU WA LESENI ZA VILEO KUANZA TAREHE 01 APRILI 2018 March 23, 2018
  • HALMASHAURI YA MERU YATANGAZA NAFASI ZA KAZI March 16, 2018
  • WATUMISHI WA MERU KUFANYA MAZOEZI YA VIUNGO . April 13, 2018
  • WAMILIKI WA ARDHI MALULA WATAKIWA KUWASILISHA NYARAKA February 22, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA VIJIJI WATAKIWA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

    April 17, 2018
  • WATUMISHI MERU WAFANYA MAZOEZI YA VIUNGO KUEPUKA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA.

    April 14, 2018
  • WANAFUNZI KUJUA KUSOMA,KUANDIKA,KUHESABU NI JUKUMU LA SERIKALI ZA VIJIJI /WAZAZI

    April 14, 2018
  • HALMASHAURI YA MERU YAADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MTI KWA KUPANDA MITI ELFU 5 KWENYE CHANZO CHA MAJI MTO NDURUMANGA LEGANGA.

    March 28, 2018
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 027 254-1112

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa