• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Huduma ya Elimu

  • Elimu Msingi

Halmshauri ya Wilaya ya Meru ina jumla ya shule 143 za msingi na kati ya hizo 112 zinamilikiwa na serikali na 31 zinamilikiwa na Watu binafsi. Vilevile kuna jumla ya madarasa 101 ya Awali yanayomilikiwa na Serikali. Pia kuna Vituo vya Ufundi Stadi (VETA) vinne (Serikali vitatu na Binafsi kimoja), Vituo vya walimu (TCRS) vinne na Vituo vitano vya Elimu maalum.


  • Elimu ya Sekondari

Hamshauri ya Wilaya ya Meru kuna jumla ya shule za Sekondari 55 na kati ya hizo 29 zinamilikiwa na Serikali na 26 zinamilikiwa na Watu Binafsi. Kati ya shule za serikali tatu zina kidato cha tano ambazo ni Maji ya Chai, Kisimiri, na Makiba.


  • Taasisi za elimu zilizopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Ndani ya eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuna Taasisi mbalimbali zinazojihusisha na utoaji wa elimu ambapo baadhi ni Chuo Kikuu cha Makumira, Chuo Kikuu cha Arusha, Chuo cha Nelson Mandela, Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Chuo cha Mifugo Tengeru, Kituo cha Kimataifa cha mafunzo ya Uongozi na Maendeleo –MS-TCDC (awali kilitwa Danish Centre).

Matangazo ya Kawaida

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • USHAURI WA KITAALAM JUU YA KUDHIBITI UHARIBIFU WA MITI UNAOSABABISHWA NA MDUDU(MCHWA) July 05, 2019
  • MATUNDA YA ELIMU BURE HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU. September 20, 2019
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU December 06, 2019
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Meru yashika nafasi ya 3 kitaifa matokeo ya kidato cha nne.

    January 15, 2021
  • Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI aridhishwa na ujenzi wa shule Bora ya mfano Nchini.

    January 14, 2021
  • Jamii yaaswa kuhakikisha wajawazito wanawahi kufika katika vituo vya huduma za afya ili kuepusha vifo na madhara kwa watoto wachanga.

    January 08, 2021
  • MKUU WA MKOA WA ARUSHA ARIDHISHWA NA UJENZI NA UKAMILISHAJI WA VYUMBA VYA MADARASA MERU

    January 07, 2021
  • Tazama Vyote

Video

Salamu za sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya 2021.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 027 297-482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa