• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Idara ya Mazingira

IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA

UTANGULIZI

Idara ya Usafi na Mazingira inatekeleza majukumu yake ya msingi kwa kufuata miongozo mbalimbali inayotolewa na Wizara ya afya Maendeleo ya Jamii Jinsia ,Wazee na Watoto na ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serika mitaa (TAMISEMI). Huduma za masuala ya safi na Mazingira zimekuwa zikitolewa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali kupitia katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

MAJUKUMU YA IDARA

Idara ya Usafi (Usimamizi wa Taka ngumu) na Mazingira inatekeleza majukumu yake ya msingi makuu mawili ambayo ni usafishaji wa Mji na Uhifadhi wa Mazingira.

USAFISHAJI (UDHIBITI TAKA NGUMU)

  • Usafishaji na ukusanyaji wa taka ngumu kwenye majengo, maeneo ya wazi, na barabara na mifereji ya kuondoa maji ya mvua.
  • Uhifadhi wa muda uchambuzi na usafirishaji taka Ngumu.
  • Uchambuaji, Utupaji Taka Ngumu na Uendeshaji wa Dampo.

HIFADHI YA MAZINGIRA

  • Utunzaji/uhifadhi wa mazingira na bioanuai (Environmental conservation na Biodivesity).
  • Udhibiti uchafuzi wa mazingira (ardhi, maji, hewa na sauti).
  • Tathmini ya atahri kwa mazingira (Environmental Impact Assesment).

SHERIA NA KANUNI ZINAZOIONGOZA IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA

Idara ya usafi na mazingira inafanya shughuli zake kwa mujibu wa sera, sheria na kanuni zilizoanzishwa na kupitishwa na serikali.

Idara inatekeleza sheria tofauti katika majukumu yake ikiwa ni

  • Sheria ndogo ya hifadhi ya Mazingira ya Halmashauri ya wilaya ya Meru ya mwaka 2014.
  • Sheria ndogo za usafi wa mazingira za Halmashauri ya wilaya ya Meru ya mwaka 2014.
  • Sheria ya Usimamizi wa mazingira namba 20 ya mwaka (2004) na Kanuni zake za mwaka 2009.
  • Sheria ya afya ya jamii (2009) na kanuni zake za mwaka 2011.

WASHIRIKA (WADAU) KATIKA IDARA YA USAFI NA MAZINGIRA

Idara ya usafi na mazingira inashirikiana na wadau mbali mbalimbali katika kutekeleza shughuli zake. Idara inashirikiana na shirika la hifadhi ya taifa ya Arusha (ANAPA) ili kuhakikisha uhifadhi wa mazingira katika Halmashauri ya Meru. ANAPA inatekeleza kusimamisha hifadhi hiyo ambayo ndio misitu mama na hifadhi ya wanyama pori katika Halmashauri ya Meru.

Vile ville idara inashirikiana na makampuni binafsi na vikundi vya kijamii katika kulindana mazingira, hii ikijumuisha upandaji wa miti, uhifadhi wa misitu na usafishaji wa mazingira. Miongoni mwa washirika na wadau hao ni GHECO Environment, MERU GREEN CLUB GROUP, OIKOS East Africa, Green Foundation, MALIHAI Club, DULUTI GREEN  FOUNDATION TRUST, MOJIFA Environmental.


Shiriki eneo lako  kuwa safi lipa ada ya gharama za uongoaji wa taka kwa mujibu wa sheria ndogo ya Usafi wa Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru.


Matangazo ya Kawaida

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE,KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE. January 15, 2021
  • USHAURI WA KITAALAM JUU YA KUDHIBITI UHARIBIFU WA MITI UNAOSABABISHWA NA MDUDU(MCHWA) July 05, 2019
  • MATUNDA YA ELIMU BURE HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU. September 20, 2019
  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU December 06, 2019
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • Halmashauri ya Wilaya ya Meru yashika nafasi ya 3 kitaifa matokeo ya kidato cha nne.

    January 15, 2021
  • Naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI aridhishwa na ujenzi wa shule Bora ya mfano Nchini.

    January 14, 2021
  • Jamii yaaswa kuhakikisha wajawazito wanawahi kufika katika vituo vya huduma za afya ili kuepusha vifo na madhara kwa watoto wachanga.

    January 08, 2021
  • MKUU WA MKOA WA ARUSHA ARIDHISHWA NA UJENZI NA UKAMILISHAJI WA VYUMBA VYA MADARASA MERU

    January 07, 2021
  • Tazama Vyote

Video

Salamu za sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya 2021.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 027 297-482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa