• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Ukaguzi

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani Katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru kipo kwa mujibu wa Sheria  ya Fedha ya Mamlaka ya  Serikali za Mitaa Na. 9 ya mwaka 1982 Kifungu Na. 45 (1) (iliyorekebishwa mwaka 2000); Vile vile kazi na wajibu wa Mkaguzi wa  Ndani wa Halmashauri zimeainishwa katika Memorandam ya fedha za  Serikali za Mitaa ya mwaka 2009(agizo No. 13 na 14).

Nia ya Ukaguzi ni kufuatilia rasilimali  za serikali zinatumika ipasavyo ili kuleta matokeo yaliyotarajiwa kwa kuzingatia tija na ufanisi.

Malengo ya kufanya Ukaguzi wa Ndani ni kuwezesha kutoa uhakika(assurance) wa hali ya uendeshaji wa Halmashauri hasa kwa kuangalia vihatarishi ambavyo madhara yake ni makubwa katika mazingira ya Halmashauri; namna ya udhibiti wa vihatarishi vinavyohusiana na hatari ambazo zinaweza kuwa na athari katika kufikia malengo ya Halmashauri kuhudumia na kuleta maendeleo kwa Wananchi. Ukaguzi unatoa ushauri kwa Menejimenti juu ya mambo mbalimbali yanayohusu uendeshaji wa shughuli za Halmashauri ili kuleta ufanisi.

Malengo ya jumla ya kitengo cha Ukaguzi wa ndani ni pamoja na:-

  • Kubainisha iwapo Miamala imefanyika kwa mujibu wa Kanuni za Fedha na kurekodiwa vizuri katika vitabu vya hesabu kwa ajili ya kutayarisha Taarifa za Fedha.
  • Kuhakikisha kama nyaraka za uthibitisho na kumbukumbu  za fedha zinatunzwa na kuhifadhiwa vizuri.
  • Kuthibitisha kama Vifaa na Huduma zilizonunuliwa zilipatikana kwa kufuata sheria ya manunuzi ya Umma , Kanuni na Miongozo yake.
  • Shughuli za Miradi ya Maendeleo zinatekelezwa ipasavyo na kukamilika kwa wakati na kwa ubora unaostahili
  • Kubainisha iwapo Mali za Halmashauri zinalindwa vizuri dhidi ya upotevu kutokana na matumizi yasiyoridhisha au kutokutumika ipasavyo.
  • Kubainisha kama Halmashauri ina mikakati mathubuti ya usimamizi na utunzaji wa mali zake.
  • Kufuatilia na kuona kama mifumo mbalimbali iliyowekwa inafanya kazi na kufuatwa  kwa mujibu wa sheria na miongozo iliyopo.

Matangazo ya Kawaida

  • waliochaguliwa kwenye usaili wa tarehe 5 Aprili 2022 April 07, 2022
  • MILIONI 50 ZA TOZO ZAKAMILISHA VYUMBA VINNE VYA MADARASA September 22, 2022
  • Aprili 2023 Mwisho wa Kukamilisha Malipo viwanja/ Mashamba mradi wa Valeska April 18, 2023
  • WIKI YA CHANJO KIANZA TAREHE 24 HADI 30 APRILI 2023 April 24, 2023
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • UGENI, MAKAMU WA RAIS KUZINDUA JENGO LA HUDUMA ZA DHARURA MERU

    May 16, 2023
  • DC ARUMERU AWATAKA WALIOVAMIA MILIMA KUONDOKA MARA MOJA

    May 10, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI

    May 08, 2023
  • MERU DC WASHIRIKI MEIMOSI ARUSHA

    May 01, 2023
  • Tazama Vyote

Video

Salamu za sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya 2021.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa