• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

RAS ARUSHA AFANYA ZIARA MERU

Imewekwa: November 29th, 2023

Na Annamaria Makweba


Katibu Tawala Mkoa wa Arusha(RAS) Missaile Albano Musa amefanya Ziara ya kukagua miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru .


Ziara hiyo imefanyika Leo ikiwa ni lengo la ufuatiliaji wa maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. John VK. Mongella, ambapo alitoa maelekezo ya marekebisho na maboresho katika baadhi ya miradi aliyotembelea hivi karibuni.


"Lengo la Ziara hii ni kufuatilia na kuona kama maelekezo yaliyotolewa na Mhe. Mkuu wa Mkoa katika ziara yake yamefanyiwa kazi" Alisema RAS.


Kati ya Miradi aliyotembelea RAS ni pamoja na Shule Mpya ya Sekondari katika Kata ya Seela Sing'isi, Shule ya Msingi Leganga, Shule Mpya ya Msingi Nasholi pamoja na  Shule ya Msingi Kaloleni.


Aidha, Katibu Tawala ametoa maelekezo kwa Kamati ya ujenzi katika Shule Mpya ya Sekondari Seela Sing'isi kuhakikisha Mradi huo unakamilika hadi kufikia tarehe 9 Disemba 2023 ili kufanya maandalizi ya kupokea wanafunzi katika shule hiyo ifikapo 2024.


Vilevile, RAS amekutana na Walimu katika shule zote alizotembelea na kusikiliza changamoto zao na kutoa maelekezo kwa Mkurugenzi Mtendaji kuzifanyia kazi.


Kati ya changamoto zilizowasilishwa ni pamoja na Ombi la Ukarabati wa madarasa yaliyobaki katika shule ya Msingi Leganga, Choo cha Walimu, Upungufu wa Walimu na Uhaba wa Nyumba za Walimu katika shule ya Msingi Kaloleni hali inayosababisha Walimu kutoka mbali na kituo cha kazi.


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya ameeleza kuwa baadhi ya changamoto hizo zimeshaanza kufanyiwa kazi ikiwa ni pamoja na shilingi Milioni 9,300,000.00 ambayo imetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Choo cha Walimu katika shule ya msingi Leganga. Pia kuhusu suala la Ikama ya Walimu na Uhaba wa Nyumba za Walimu katika shule zilizotajwa ameahidi kulifanyia kazi ikiwa ni pamoja na kuendelea kutenga bajeti.


Hata hivyo, Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Kaloleni  Bw. Elias Mathayo Siria amekumbushia suala la ahadi ya kuwekewa Umeme katika shule hiyo ambapo TANESCO walitoa ahadi ya kumaliza tatizo hilo .



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa